Radio Okapi.Ph/ Marc Maro Fimbo(Photo d'illustration)" />Huduma ya Ulinzi wa Raia inatangaza kila siku utabiri wa hali ya hewa ili kuzuia ajali kwenye Ziwa Albert. Je, tunapaswa kutoa uthibitisho kiasi gani kwa habari hii? Wasafiri wanawezaje kuipata? Maswali yalijibiwa na Robert Ndjalonga, mratibu wa mkoa wa huduma ya ulinzi wa raia. Anazungumza na Jean Claude Loky Dile.
Robert Ndjalonga: Tunatoa habari ya hali ya hewa kwa wasafiri asubuhi kujua wakati gani upepo utapita kwenye bahari ya Albert
🕒 Publié le 04/05/2025
À lire aussi
Le Président de la République reçoit un envoyé spécial du Président de la Palestine
AMI - S.E. le Président de la République Mohamed Ould Cheikh El Ghazouani a reçu, lundi, au Palais présidentiel à Nouakchott, M. Nabil......
Lire plus →Gabon : Bilie-By-Nze reconnaît sa défaite à l'élection présidentielle
Arrivé deuxième à la présidentielle gabonaise avec 3,02% des suffrages, Alain-Claude Bilie-By-Nze, plus farouche opposant au général Oligui, a reconnu sa défaite, mais pointé les condi...
Lire plus →